https://archive.org/details/maji-maji
Kumbukumbu za Vita vya Maji Maji: Sehemu ya Kwanza, 1905-1907 by G. C. K. Gwassa
Topics
#VitavyaMajiMaji, #MajiMaji, #historiayaTanzania, #Afrikayamasharikiyakijerumani, #ukoloni, #dolalaujerumani
Chama cha Historia cha Tanzania Kijitabu cha Kiswahili cha Kwanza
#vitavyamajimaji #majimaji #historiayatanzania #afrikayamasharikiyakijerumani #ukoloni #dolalaujerumani
https://archive.org/details/njia-panda
Njia Panda by Ngũgĩ wa Thiong'o; John Ndeti Somba
Topics
#Kiswahili, #Kenya, #riwaya, #ukoloni, #ukristo
"Njia panda ni tafsiri ya Kiswahili ya The River Between, kilichoandikwa na mwandishi maarufu Mkenya, Ngugi wa Thiong'o."
#Kiswahili #kenya #riwaya #ukoloni #ukristo
https://archive.org/details/kaburi-bila-msalaba
Kaburi Bila Msalaba: Hadithi Ya Vita Vya Mau Mau by P. M. Kareithi; Terry Hirst
Topics
#MauMau, #Kenya, #historia, #Kiswahili, #ukoloni, #milkiyauingereza, #milkiyabritania, #vita, #kujikomboakitaifa, #mapambano, #hadithi
"Kila msomaji amalizae kusoma hadithi hii hataacha kujiuliza nafsi yake kama anatimiza wajibu wake katika ujenzi wa taifa hili."
#maumau #kenya #historia #Kiswahili #ukoloni #Milkiyauingereza #Milkiyabritania #vita #kujikomboakitaifa #mapambano #hadithi
https://archive.org/details/viumbe-waliolaaniwa
Viumbe Waliolaaniwa by Franz Fanon; Frantz Fanon; Gabriel Ruhumbika; Clement Maganga; Jean-Paul Sartre; Kiswahili
Topics
#ukoloni, #kujikomboakitaifa, #mwamkowakitaifa, #vita, #mapinduzi, #elimunafsia, #saikolojia, #mataifa, #mapambano, #ubaguziwarangi, #ujenziwamataifa
Yaliyomo
Dibaji ya Jean-Paul Sartre
1. Kuhusu utumiaji nguvu
2. Mwamko wa dharura: Fahari yake na hasara zake
3. Matatizo ya mwamko wa kitaifa
4. Kuhusu utamaduni wa kitaifa
5. Vita vya kikoloni na mogonjwa ya ubongo
6. Neno la mwisho
Vielelezo
#ukoloni #kujikomboakitaifa #mwamkowakitaifa #vita #mapinduzi #elimunafsia #saikolojia #mataifa #mapambano #ubaguziwarangi #ujenziwamataifa
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili
"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
#afrika #ukoloni #usoshalisti #ujamaa #harakatizakitabaka #mapambanoyakitabaka #ukolonimamboleo #ubepari #ubeberu #tabaka #rangi #ubaguziwarangi #Kiswahili
https://archive.org/details/mzalendo-kimathi
Mzalendo Kimathi by Mîcere Gîthae Mũgo; Ngũgĩ wa Thiong'o; Raphael Kahaso
Topics
#DedanKimathi, #MauMau, #Kenya, #Milkiyauingereza, #Milkiyabritania, #ukoloni, #tamthilia, #tamthiliya, #kujikomboakitaifa, #vita, #historia, #historiayaKenya, #Kiswahili
"Yamesemwa na kuandikwa mengi juu ya kiini cha mapambano ya Mau Mau na vikosi vya Wakoloni Waingereza. Lakini je, kiini hiki kimezungumiziwa vya kutosha katika fasihi ya Kenya? Ni kwa nini fasihi hii imewadunisha wazalendo na kuwafanya wasioweza kuiunda historia yao? Kwa nini waimbaji wetu Kenya hawajapata kuimba nyimbo za kuwasifu mashujaa kama Dedan Kimathi na ujasiri wao? Historia na matendo waliyoyaandika wanahistoria na waandishi wengine ni vya nani?"
#DedanKimathi #maumau #kenya #Milkiyauingereza #Milkiyabritania #ukoloni #tamthilia #tamthiliya #kujikomboakitaifa #vita #historia #historiayaKenya #Kiswahili
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia
#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
#KinjeketileNgwale #KinjikitileNgwale #VitayaMajiMaji #tanzania #Tanganyika #Bokero #ukoloni #historia
https://archive.org/details/mapambano
Historia ya Mapambano ya Mwafrika by H. Mapunda; D.N. Mwakawago
Topics
#historia, #Afrika, #Waafrika, #uhamiaji, #uvamizi, #Mfecane, #ukoloni, #maendeleo, #ubepari, #ubeberu, #siasa, #ujenziwamataifa, #kujikomboakitaifa, #Uhuru, #jamiizaKiafrikaKiasili
Chapa ya Tatu
#historia #afrika #Waafrika #uhamiaji #uvamizi #Mfecane #ukoloni #maendeleo #ubepari #ubeberu #siasa #ujenziwamataifa #kujikomboakitaifa #Uhuru #jamiizaKiafrikaKiasili